Marehemu Adam Philip Kuambiana
Akizungumza na EATV mwenyekiti wa Bongo Movies, Steve Nyerere, amesema Adam Kuambiana amefariki wakati wakiwa "Location", wakiandaa filamu.
Mwili wa msanii huyo, umepelekwa katika hospitali ya Muhimbili, kwa uchunguzi zaidi

