
Picha ya Abdukiba kushoto, kulia ni Harmonize, Killy na Cheed
Pia akizungumzia uwezekano wa wasanii hao kurudi Kings Music Abdukiba amesema ni suala la uongozi japo wakiamua kurudi kufanya mazungumzo watawasikiliza.
Zaidi tazama hapa chini Abdukiba akielezea zaidi uwezekano wa Killy na Cheed kurudi Kondegang.