Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko (katika) akiwa na viongozi mbalimbali wa serikali pamoja na wadau wa maendeleo ikiwamo Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) ambayo iliwakilishwa na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama, Mazingira na Mafunzo wa GGML, Dk Kiva Mvungi (wa kwanza kulia waliosimama) na Meneja Uhusiano na Mawasiliano, Stephen Mhando (wa kwanza kushoto waliosimama).

1 Dec . 2023