Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kituo cha uwekezaji chatoa taarifa yake

Alhamisi , 29th Apr , 2021

Kituo cha Uwekezaji nchini TIC kimesema kuanzia Julai 2020 hadi sasa hakuna kampeni iliyofanyika ya kusafiri kutangaza vivutio vya utalii kutokana na mataifa mbalimbali duniani kuweka masharti dhidi ya Covid 19 hali iliyopelekea kuendesha mikutano zaidi ya saba kwa njia ya mtandao.

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo Cha Uwekezaji nchini Dkt Maduhu Kazi

Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo Cha Uwekezaji nchini Dkt Maduhu Kazi wakati akitoa Taarifa ya robo ya tatu ya mwaka 2020/2021 ambapo pia ameelezea hadi sasa jumla ya miradi 151 imesajiliwa katika kipindi cha mwezi Julai 2020 hadi machi 2021.

"Kama Kituo kwa sasa tunafanya kila mbinu kuhakikisha zile changamoto zote za Uwekezaji zinakoma ikiwemo upande wa ardhi,ushirikiano katika Taasisi zinazoingiliana katika Uwekezaji," amesema Dkt Maduhu.

Aidha Dkt Kazi ameeleza kuwa wamekuwa wakitumia jukwaa la Africa Investment Forum kuielezea miradi ya ndani  kwakuwa pana wafanyabiashara na wawekezaji wakubwa kutoka duniani .

Kuhusu Suala la wawekezaji wanaohitaji ardhi amesema wanashirikiana vyema na wizara ya ardhi kuhakikisha wanapata maeneo bila vikwazo huku Taasisi ikiboresha utoaji wa huduma za vibali na leseni katika Kituo Cha pamoja yaani one stop facilitation center.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala