Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waziri aagiza Wananchi kukamatwa

Jumapili , 10th Jan , 2021

Naibu Waziri wa Tamisemi David Silinde ametaka hatua kali kuchukuliwa kwa wananchi waongoza migomo ya kutochangia shughuli za maendeleo au kuzuia miradi ya maendeleo inayopelekwa na serikali katika maeneo yao kwa faida ya watu wote wa eneo husika.

Naibu Waziri wa Tamisemi David Silinde.

Silinde amechukua uamuzi huo baada ya Wananchi wa kijiji cha Riroda kata ya Riroda wilaya ya Babati mkoani Manyara wakugomea mradi wa mabweni uliotolewa na Ofisi ya Rais TAMISEMI EP4R wakidai kuwa na harufu ya ufisadi kutoka kwa wanaokusanya michango katika kijiji chao kwani baadhi ya michango fedha zao zilipigwa na hakupewa taarifa ya mapato na matumizi.

Ufanyike uchunguzi kwa yeyote aliyekula fedha za michango ya wananchi achukuliwe hatua kali za kisheria bila upendeleo wowote kwa fedha zilizochangwa kwa ajili ya choo, wananchi kwa hiyari yao wachangie ujenzi wa mabweni ambao unaendelea kwasasa na kufikia sehemu ya upauaji na wakuu wa wilaya chukueni hatua ya kuwaweka ndani wananchi wanaoongoza migomo”, amesema Silinde.

Kwa upande wao viongozi wa Wilaya ya Babati Mkuu wa Wilaya LazaroTwange na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Babati John Nchimbi wasema walifanya jitihada sana ya kukaa nao meza moja wananchi wa kijiji hicho wakubali mradi huo kujengwa katika shule hiyo ili uweze saidia wanafunzi wanaotoka mbali kuweza kukaa shuleni kusoma vizuri.

Nao wananchi wa kijiji hicho wamesema waligomea mradi huo wenye thamani ya milion 160 kwasababu ya kutosemewa mapato na matumizi ya michango yao wanayotoa na kuhisi kuwa naibiwa hivyo wanataka hatua zichukuliwe kwa viongozi wote wanahusika katika kuzila fedha za michango yao.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto