Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wazazi, chanzo cha watoto kukosa ubunifu

Ijumaa , 5th Feb , 2021

Ubunifu kwa watoto umeelezwa kukwamishwa na mambo matatu  ikiwemo  adhabu wanazopewa watoto mara kwa mara.

Watoto wakiwa wanacheza (Picha kutoka mtandaoni)

Akizungumza katika Kipindi cha Mamamia cha East Africa Radio Msaikolojia John Lyadunda amesema wazazi wengi huadhibu watoto mara kwa mara wakijuwa kwa kufanya hivyo wanawajenga ilihali wanawaharibu kwa kuwajengea hofu katika kujaribu mambo mabalimbali.

“Ubunifu wa mtoto unajengwa tangu mtoto akiwa mdogo, adhabu za mara kwa mara zinaua ubunifu wa mtoto, ili mtu awe na hali ya ubunifu lazima afanye makosa ya mara kwamara ili aweze kujitafuta na afanye kitu kitakachoonekana” amesema Lyadunda.

Pia ameongeza kuwa Katika malezi mtoto anapokuwa haaminika katika kila kitu anachofanya kinau uwezo wa mtoto  kujiamini katika mambo mbalimabali ili kumjenge uwezo wa kukomaa katika mambo anayoweza kufanya.

“mtoto anapokuwa haaminiki kwenye kila kitu anachofanya akinauua confidence yake, wazazi na walezi tumuamini mtoto kwa yale anayoyafanya atakama ni ya watoto” amesema Lyadunda

 

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi