Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watoto wanaozaliwa na jinsi mbili wasifichwe

Jumatano , 7th Jul , 2021

Jamii imeombwa kutowaficha watoto wanaozaliwa na jinsi mbili tofauti badala yake kuwafikisha kwenye mamlaka husika za serikali ili waweze kupimwa na kufanyiwa uchunguzi wa kitaalum zaidi.

Mkurugenzi wa Huduma na Udhibiti anayesimamia Uingizaji, Usambazaji na Matumizi ya Kemikali nchini kutoka Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA), Daniel Ndiyo .

Hayo yameelezwa na Mkurugenzi wa Huduma na Udhibiti anayesimamia Uingizaji, Usambazaji na Matumizi ya Kemikali nchini kutoka Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA), Daniel Ndiyo ambaye amesema watoto wanaozaliwa na jinsi mbili wapo ijapokuwa jamii inawaficha.

"Kwa sasa hakuna haja ya kuwaficha watoto hao, GCLA inatoa huduma ambapo kwa kushirikiana na madaktari mbalimbali wanafanya uchunguzi wa kuthibitisha ni jinsia  gani ambayo inatawala kati ya kiume na ya kike," amesema Daniel.

Amesema wanapofanya uchunguzi wa kimaabara wanaweza kutambua kwamba mtoto huyo ni mwanamke au ni mwanaume hivyo jinsia ambayo inatawala ambayo haitakiwi kuwepo wanawashauri madaktari kuweza kufanya upasuaji ili kumuwezesha mtoto huyo atambulike kama ni mwanaume au mwanamke.

Aidha, Daniel amesema kuwa mamlaka hiyo inafanya uchunguzi wa vinasaba kwa wagonjwa wa figo wakati wa kuhitaji mtu wa kumuwekea figo hiyo.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa January Makamba

Ziara ya Rais Samia Korea kuanza rasmi Mei 31 2024

Bw. Nazar Nicholas (katikati) akikabiziwa tuzo ya WSIS 2024

Tanzania yashinda Tuzo WSIS 2024, nchini Uswisi

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20