Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watanzania wapewa somo kuanzisha viwanda vidogo

Alhamisi , 25th Aug , 2016

Watanzania nchini Wametakiwa kuwekeza na kujikwamua kiuchumi kwa kuanzisha viwanda vidogovidogo vitakavyozalisha ajira na kukuza pato la nchi hivyo kusaidia kuondokana na tatizo la umasikini uliokithiri kwenye kaya nyingi nchini.

Afisa Tarafa wa Kimandoru mjini Arusha, Felician Mtahengerwa.

Hayo yamebainika kutoka kwa Washiriki wa Mafunzo ya Ujasiriamali juu ya namna ya kumiliki viwanda vidogo vya uzalishaji, yalioandaliwa na Kampuni ya Zebra iliyoko jijini Arusha kwa ajili ya kuwawezesha wajasiriamali hao kukuza mitaji yao.

Suzan Nyari na Glory Antony wamesema kuwa Mafunzo waliyoyapata juu ya jinsi ya kutengeneza bidhaa za viwandani kama Sabuni, Ufugaji wa kuku pamoja na usindikaji vyakula yatawasaidia katika kuanzisha viwanda vidogovidogo hivyo wameiomba serikali iwapatie mikopo ya riba nafuu ili kutekeleza adhma ya Rais Magufuli ya kuwa na uchumi wa viwanda.

Naye Mkurugenzi wa kampuni iliyotoa mafunzo hayo, Zuberi Mwinyi amesema kuwa Mafunzo wanayoyatoa yatawasaidia wananchi wa jiji la Arusha kuweza kutumia vizuri fursa zilizopo katika maeneo yao kujikomboa kiuchumi.

Kwa upande wa Afisa Tarafa wa Kimandoru mjini Arusha Felician Mtahengerwa amesema kuwa mafunzo hayo yatawasaidia Wananchi wa Arusha kufanya biashara kitaalam na kwa kuzingatia sheria na maadili ili waweze kuepuka hasara.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto