Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wananchi jimboni kwa Musukuma waugua kichocho

Ijumaa , 7th Mei , 2021

Mbunge wa jimbo la Geita Vijijini Joseph Musukuma, amesema kuwa asilimia 92 ya jimbo lake limezungukwa na Ziwa Victoria lakini wananchi wake wanakunywa maji machafu hali inayopelekea kuugua kichocho.

Mbunge wa jimbo la Geita Vijijini Joseph Musukuma

Kauli hiyo ameitoa hii leo Mei 7, 2021, Bungeni Dodoma, wakati akichangia mjadala wa Bajeti ya Wizara ya Maji iliyowasilishwa hapo jana na Waziri wa Wizara hiyo Jumaa Aweso, ambapo amemtaka Waziri huyo mara baada ya Bunge hilo kuisha ahakikishe anaongozana naye kwa ajili ya kuzindua miradi ya maji katika vijiji alivyomuahidi.

"Asilimia 92 ya jimbo langu ni Ziwa lakini sisi tunaugua kichocho, tunachota maji machafu halafu maji yamevutwa yameletwa mpaka Dodoma, Waziri nikuombe sana 'term' hii usinizingue tumekuwa wavumilivu vya kutosha uone namna yoyote hii uje ufungue miradi ya maji kwenye vijiji ulivyoniahidi", amesema Mbunge Musukuma.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto