Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waliomuua mpinga ujangili, wahukumiwa kunyongwa

Ijumaa , 2nd Dec , 2022

Watuhumiwa 11 wa kesi ya mauaji ya mwanaharakati mpinga ujangili wa Tembo, Wayne Lotter aliyeuawa Masaki jijini Dar es Salaam siku ya Agosti 16, 2017, wamehukumiwa kunyongwa baada ya Mahakama kuwakuta na hatia.

Waliohukumiwa kunyongwa kutokana na mauaji ya Wayne Lotter

Hukumu hiyo imesomwa leo Desemba 2, 2022, na Jaji Leila Mgonye wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam, ambapo amebinisha kuwa watu hao waliohukumiwa wanaweza kukata rufaa dhidi ya uamuzi huo. 

Watu waliohukiwa ni wanaume 10 na mwanamke mmoja, ambao wanaume hao 10 wamepelekwa Gereza la Ukonga na Mwanamke akipelekwa Gereza za Segerea.

Wayne ambaye alikuwa mwanzilishi wa PAMS Foundation, taasisi ambayo ilikuwa mstari wa mbele kusaidia kupambana na uwindaji haramu na biashara ya pembe za ndovu nchini Tanzania aliuawa  Agosti 16, 2017 wakati akitoka Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere akielekea nyumbani kwake Masaki.

Wayne Lotter aliyeuawa mwaka 2017

HABARI ZAIDI

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini