Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waliokula fedha Bil 3.4 wakabidhiwa TAKUKURU

Jumanne , 20th Aug , 2019

Mkuu wa mkoa wa Mwanza John Mongela amekabidhi ripoti ya mkaguzi wa ndani wa hesabu za serikali kwa kamanda wa TAKUKURU wa wilaya ya Ukerewe, kufuatia ripoti hiyo kubainisha upotevu wa fedha za serikali zaidi ya shilingi bilioni 3.4.

Mkuu wa mkoa wa Mwanza John Mongela akimkabidhi ripoti ya mkaguzi wa ndani wa hesabu za serikali kamanda wa TAKUKURU wa wilaya ya Ukerewe.

Mkuu huyo wa mkoa ameyasema hayo katika kikao maalumu cha baraza la madiwani cha kujadili hoja za mkaguzi wa ndani wa hesabu za serikali wilayani hapo na kumwagiza kamanda wa takukuru wilayani hapo kuhakikisha hatua kali za kisheria zinachukuliwa kwa wote watakaohusika na ubadhirifu huo wa fedha.

''Haiwezekani mkawa watu wa hivi, kwamba mna Bil 3.4 za kula tu, kamanda wa TAKUKURU wa wilaya nenda kashughulikie hili na asionewe mtu'', amesema Mkuu wa mkoa.

Aidha amebainisha kuwa fedha hizo zilikuwa zikitakiwa kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo kwa mwaka 2017/2018 katika wilaya ya Ukerewe.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto