Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Vijana CCM wajitokeza kwa wingi ubunge wa EALA

Jumamosi , 25th Mar , 2017

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama cha mapinduzi , Humphrey Polepole amesema hadi kufikia jana Machi 24, wanachama wa CCM waliojitokeza kuchukua fomu za kuwania ubunge wa Afrika Mashariki walikuwa 452.

Basila Mwanukuzi na Seki Kasuga

 Karibu wa Itikadi na Uenezi CCM- Humphrey Polepole

Katika zoezi hilo la kuchukua fomu vijana wengi wa CCM wameonekana kuchangamkia nafasi hiyo ya ubunge wa EALA akiwemo aliyekuwa miss Tanzania wa zamani Basila Mwanukuzi,  kada mkereketwa Seki Boniventure Kasuga na wengine wengi.

Huu ni mchakato wa ndani wa chama hicho ili kupata wawakilishi na Ndugu Humphrey Polepole amesisitiza uadilifu.

"Tumesisitiza tena rushwa na vitendo vyote vinavyokwenda kinyume na kanuni za uchaguzi na uongozi havitavumiliwa, wote watakaoshiriki matendo hayo vikao vya chama vitayaondoa majina yao". Alisema Polepole
 

Seki Kasuga

Chama cha CCM kinatakiwa kutoa wawakilishi 6 watakaokwenda kuwakilisha Tanzania katika Bunge la Afrika (EALA)

Basilisa  Mwanukuzi akiwa ametoka kuchukua fomu

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto