Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Urusi yaisaidia Mali ndege tano za kijeshi

Jumatano , 10th Aug , 2022

Nchi ya Mali imepokea msaada wa ndege tano za kijeshi pamoja na helkopta za kivita kutoka nchini  Urusi ili kuimarisha mapambano yake dhidi ya vikundi vya kigaidi nchini humo

Kwenye hafla fupi ya makabidhiano ya vifaa hiyo vya kijeshi, waziri wa ulinzi nchini Mali Sadio Camara, amesifu msaada huo na kusema kuwa ni matunda mazuri ya mahusiano baina ya Mali na Russia.

 
Kwenye ukurasa wake wa Twitter Rais wa Mali alipost picha za vifaa hivyo muhimu vya kijeshi.

 
Mahusiano baoina ya nchi hizo mbili yamekua makubwa toka yalipotokea mapinduzi ya akijeshi mwezi may mwaka jana. 

Ufaransa iliyaondoa majeshi yake nchini Mali  baada ya  nchi hiyo kuonekana kuanza kuwa karibu na Russia.  Mashambulizi ya kijihad yamekua yakiongezeka katika wiki za hivi karibuni na kugharimu maisha ya watu. 
Wikiendi iliyopita majeshi ya kijihad yaliwaua raia 17 wakiwemo wanajeshi.

 
Jeshi la nchi hiyo limesema kuwa askari wengine 9 hawajulikani walipo huku 22 wakijeruhiwa

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto