
Rais wa Sudani Kusini, Salva Kiir
Mwenyekiti wa uhusiano wa kimataifa Philip Thom amesema serikali inafanya juhudi kuokoa wanadiplomasia wake ambao wako kwenye hatari ya kufukuzwa na kufikishwa Mahakamani.
Mwezi Machi Serikali ya Sudan Kusini imesema itapunguza idadi ya wafanyakazi wake wa kibalozi kote duniani ili kukata gharama za uendeshaji balozi hizo.