Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tutakupoteza ukiwa bado mdogo - Sirro

Jumanne , 23rd Mei , 2017

Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Simon Sirro amefunguka na kuwataka vijana wadogo wanaojihusisha na matukio ya ujambazi kwa kutumia silaha waache mara moja kwani jeshi la polisi halitawaacha salama.

Kamishna Simon Sirro

 

Sirro amesema hayo jana wakati akitoa rai kwa majambazi na kusema Dar es Salaam ni sehemu nzuri ya kuishi na kuwataka majambazi kuacha mara moja kazi hiyo kama wanazipenda familia zao.

"Nipeleke salamu kwa majambazi Dar es Salam ni sehemu nzuri sana ya kuishi lakini kama unapenda sana familia yako, maana najua wengi wana familia, hii biashara ya bunduki hailipi hata kidogo, acha biashara ya bunduki fanya kazi zingine maana mwisho wa siku tunakuhitaji na tutakukosa, ukiangalia hawa walioondoka ni watoto wadogo ukianza haya mambo na miaka 24 au 30 mambo ya bunduki haitakusaidia sana acha hiyo biashara na kama una vibunduki vyako vitupe barabarani" alisema Sirro 

Sirro aliendelea kusisitiza 

"Ni bora ufanye hata kazi nyingine, fanya biashara ya bodaboda, fanya biashara ya kuuza nyanya italipa zaidi kuliko hii kazi ya ujambazi ambayo wanajiingiza" alisema Sirro  

HABARI ZAIDI

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini