Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TRA Shinyanga yafunga mgodi wa Almasi

Jumatatu , 15th Feb , 2016

Mamlaka ya Mapato nchini (TRA), Mkoa wa Shinyanga imeufunga mgodi wa El-Hilal Minerials Limited unaochimba Almasi Wilayani Kishapu Mkoani Shinyanga, baada ya kushindwa kulipa kodi ya mapato kiasi cha sh. Milioni 374.

Meneja wa TRA mkoa wa Shinyanga bwana Ernest Dundee

Meneja wa TRA, mkoa wa Shinyanga, Ernest Dundee amesema hatua hiyo ilisababisha ofisi yake kumtumia kwa kumpa mamlaka dalali ambaye ni wakala wake wa kukusanya mapato kwa wadaiwa sugu, Kampuni ya Suka Security Co.Ltd kufuatilia deni hilo.

Meneja huyo ameongeza kuwa zoezi hilo litakua endelevu na kutoa wito kwa wafanyabishara na wananchi kwa ujumla kulipa kodi ya mapato kwa wakati bila shuruti ili kuepukana na usumbufu unaoweza kujitokeza baadaye.

Akizungumzia kazi hiyo Mkurugenzi Mtendaji wa Suka Security co, Lyasuka Ibrahimu amesema kwa mamlaka aliyopewa alifika mgodini hapo kukusanya mapato kwa wateja wake ambao walikaidi kulipa kodi ya mapato halali ya serikali.

Mkurugenzi huyo amesema kuwa kwa mujibu wa sheria ya TRA, kumpa dalali huyo kwenda kukumbushia kulipwa mapato hayo kulishindikana baada ya kaimu meneja uzalishaji wa mgodi huo, Badul Seif kukataa kusaini barua ya kufunga vinu vya kusaga mchanga na kusafisha Almasi.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala