Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

THBU yavitaka vyombo vya uchaguzi kusimamia haki

Jumatano , 9th Sep , 2015

Tume ya haki za binadamu na utawala bora umevitaka vyombo vinavyosimamia uchaguzi mkuu ikiwemo Tume ya Uchaguzi Tanzania NEC na ile ya Zanzibar ZEC kutenda haki ili uchaguzi uwe huru na haki na kudumisha amani ya nchi.

Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Mhe. Bahame Nyanduga

Akizungumza na East Africa Radio Mwenyekiti wa Tume hiyo Bw, Bahame Nyanduga amesema wasimamizi hao wahakikishe kwamba zoezi hilo linaendeshwa kusimamia sheria za uchaguzi, na uwazi tangu mwanzo wa upigaji kura mpaka utoaji matokeo.

Nyanduga ameongeza uzeofu unaonesha katika nchi nyingine moja wapo kati ya hatua za uchaguzi zikivurugika zinaweza kuleta maafa na kutaka tume kuzingatia maadili na usawa kwa vyama vyote.

Katika hatua nyingine amewasifu wananchi wanaojitokeza katika mikutano ya kampeni kwa utulivu na amani wanayoionesha huku akisisitiza waendelee kuwa hivyo mpaka siku ya uchaguzi mkuu.

Aidha mwenyekiti huyo ametumia fursa hiyo kuwapa pole wale wote waliohofiwa na ndugu zao katika moja ya mikutano ya kampeni ya CCM na waliojeruhiwa waweze kurejea katika hali yao ya kawaida huku akiongeza vyama vya siasa vinatakiwa kutafuta viwanja vilivyo na usalama wa kutoka na kuingia.

HABARI ZAIDI

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini