Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TFDA Arusha yateketeza vipodozi vyenye sumu

Jumatatu , 4th Jan , 2016

Mamlaka ya dawa na chakula kanda ya kaskazini imeteketeza vipodozi vilivyopigwa marufuku kuingia nchini vyenye thamani ya shilingi milioni 34 na laki tisa baada ya kuvikamata katika mpaka wa Namanga mkaoni Arusha.

Vipodozi vyenye viambata vya sumu vikiteketezwa na Mamlaka ya dawa na Chakula (TFDA).

Meneja wa TFDA kanda ya kaskazini Bw. Damas Matiko amesema kuwa mapema mwaka jana maafisa wa mamlaka hiyo wakishrikiana na maafisa wa mamlaka ya mapato nchini TRA walikamata gari la kampuni ya parfect trans ikiwa na shehena hizo za dawa.

Aidha Bw. Matiko ameongeza kuwa bidhaa hizo zilikua na viambata vya sumu ambazo huleta madhara kwa watumiaji a mara nyingine hata vizazi vijavyo.

Hata hivyo uingizwaji wa bidhaa hizo umeanishwa na ukwepaji wa kodi ambapo kaimu afisa forodha wa mpaka wa Namanga Aminieli Malisa amesema kuwa amesema wamejiimarisha katika kusimamia uingizwaji wa biadhaa hizo.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala