Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TanTrade yaja na 'Made in Tanzania'

Jumatatu , 20th Oct , 2014

Mamlaka ya Uendelezaji Biashara nchini Tanzania – TANTRADE imesema kwa mara ya kwanza Tanzania itaanza kutumia alama na nembo ya Made in Tanzania, kwa bidhaa na huduma zote zinazouzwa kwa kutumia nembo na vivutio vinavyoiwakilisha Tanzania.

Mkurugenzi Mkuu wa TanTrade Bi. Jacqueline Maleko, amesema uanzishwaji wa matumizi ya Made in Tanzania yataongeza imani ya wateja juu ya bidha na huduma zinazozalishwa Tanzania, hatua itakayopanua wigo wa masoko ya bidhaa na huduma husika.

Bi. Maleko amesema nchi za China, Marekani, Uingereza na Italia zimefanikiwa kibiashara kwa kutumia hatua kama hiyo, na kwamba TANTRADE itahakikisha kampuni na biashara zote za kigeni zinailipa Tanzania pale zitakapotumia maneno hayo na alama za Made in Tanzania.

Bi. Maleko ametaja baadhi ya alama hizo kuwa ni pamoja na vivutio maarufu ambavyo havipatikani sehemu yoyote isipokuwa Tanzania, vivutio kama mlima Kilimanjaro, mbuga za wanyama na alama nyingine zinazoitambulisha Tanzania.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala