Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sugu apigwa 'STOP' #219

Jumanne , 19th Jun , 2018

Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) limeufungia rasmi wimbo wa #219 ulioimbwa na Mbunge Joseph Mbilinyi 'Sugu' kwa madai kwamba una maneno ya uchochezi na kuhatarisha amani na utengano miongono kwa jamii.

Taarifa kutoka BASATA inasema kwamba wamekuwa wakipokea simu za malalamikp kadhaa kutoka kwa wadau ambao wamechukizwa na wimbo huo ambao si tu kutokana na umaneno ya kichochezi bali pia kutofuata taratibu za utoaji wa wimbo kwa umma hali inayopelekea kuhoji weledi na hadhi ya msanii.

Katibu Mtendaji wa BASATA, GodfreyMngereza, amesema kuwawasanii wengi wanafanya sanaa kuburudisha na kuelimisha lakini hawapo tayari kuvumilia wasanii wachache ambao wanataka kuigeuza sekta ya sanaa kama kichaka cha kusambaza sumu kwa lengo la kuigawa jamii na kuharibu amani na utulivu.

Mbali na kuufungia wimbo huo, BASATA imemuonya Sugu kuacha mara moja kujihusisha kwa namna yoyote ya kuutangaza au kuusambaza wimbo huo.

HABARI ZAIDI

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini