Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Suala la kusema hakuna ajira ni ujinga - Singo

Jumanne , 23rd Nov , 2021

Mtaalam wa masuala ya malezi Singo Mgonja, amesema kwamba vijana wengi wamejijengea fikra za kwamba hakuna ajira kwa kuwa akili zao wameziandaa kwenye suala la kuajiriwa badala ya kuangalia fursa zilizopo nchini ili ziwapatie kipato.

Mtaalam wa masuala ya malezi Singo Mgonja

Kauli hiyo ameitoa hii leo Novemba 23, 2021, kwenye kipindi cha Supa Breakfast ya East Africa Radio.

"Dhana ya kusema hakuna kazi ni mindset, nani anakuambia hakuna kazi, unasemaje hakuna kazi, hilo suala la kusema hakuna ajira ni upumbavu na ujinga, Tanzania kuna fursa ya kila kitu unaweza kufanya chochote na ukafanikiwa," amesema Mgonja.

Aidha, ameongeza kuwa, "Watu wanasema hakuna kazi wakifikiri kazi ni kuajiriwa tu, wanamaliza chuo akili zao ziko kwenye kuajiriwa wakati serikali yenyewe haina wafanyakazi wanaofika laki 5, ukiondoa majeshi na watu wanamaliza karibu laki 2 kila mwaka".

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala