Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa akikagua ujenzi wa kiwanda na miundombinu ya barabara katika Kiwanda cha Sukari na Shamba la Mbigiri

22 Feb . 2024

Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji wa Mahakama Kuu Mhe. Asina Omari akifunga mafunzo kwa wasimamizi na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi kwa ajili ya uchaguzi mdogo wa madiwani katika kata 23

22 Feb . 2024

Mkuu wa Idara ya Mafunzo na Ujuzi, Albert Rukeisa (kushoto) akizungumza na Meneja Mwandamizi wa masuala ya Rasilimali watu kutoka GGML, Charles Masubi (kulia) katika hafla ya kuwakaribisha wahitimu 40 wa vyuo mbalimbali wasio na ajira ambao wamepatiwa fursa ndani ya GGML kupata mafunzo ya vitendo kazini kwa muda wa mwaka mmoja.

22 Feb . 2024

Taswira ya Sanamu ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere iliyowekwa kwenye Makao Makuu ya Umoja wa Afrika (AU), Addis Ababa

22 Feb . 2024

Makamo wa Rais Dkt. Philip Mpango

22 Feb . 2024

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Mashaka Biteko

22 Feb . 2024