Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali kugawa saruji kila Kata

Ijumaa , 22nd Jan , 2021

Halmashauri ya wilaya ya Geita, imetenga bajeti ya shilingi bilioni 78, kwa mwaka wa fedha 2021/2022, huku ikija na mpango wa kugawa saruji kila Kata, ambazo zitatumika katika uanzishaji wa ujenzi wa vyumba vya madarasa na zahanati.

Saruji

Hayo yamejiri hii leo Januari 22, 2021, mara baada ya baraza la madiwani wilayani humo, kumaliza kupitisha mpango wa bajeti kwenye baraza hilo, huku baadhi ya madiwani hao akiwemo Jeremia Ikangala, akisema kuwa mpango wa kupeleka saruji katika kila Kata za wilaya hiyo utapunguza changamoto ya miundombinu ya shule katika kata zao.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa CCM wilayani humo Barnabas Mapande, amewahamasisha wazazi kujitahidi kupata vyeti vya kuzaliwa vya watoto wao ili kupunguza usumbufu wakati wa usajili ngazi mbalimbali ya elimu.

Naye Kaimu Mkurugenzi wa halmashauri hiyo, Donald Nsoko,amesema kuwa wanakabiliwa na upungufu wa vyumba vya madarasa hivyo wametenga zaidi ya shilingi milioni 94, kwa ajili ya uanzishai na umaliziaji wa ujenzi wa vyumba vya madarasa.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto