![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/news/2021/01/01/SKENDOOAA.jpg?itok=3WXjLtvD×tamp=1609487559)
Picha ya Muhimbili
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na idara ya Habari ya Hospitali hiyo, kati ya watoto hao wanne ni wakiume na wawili ni wa kike.
Aidha taarifa hiyo imeeleza kuwa watoto wanne wamezaliwa kwa njia ya kawaida na wawili kwa njia ya upasuaji.
Kuhusu afya zao, taarifa imeeleza kuwa watoto wote wapo salama pamoja na mama zao wote wana afya njema kabisa.