Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

RC Mongella apiga marufuku mikusanyiko Arusha

Ijumaa , 23rd Jul , 2021

Mkuu wa mkoa wa Arusha John Mongella, amesema kuwa kuanzia sasa mikusanyiko isiyo halali mkoani humo itadhibitiwa na kuwataka wananchi kuachana na mikusanyiko hiyo kwa lengo la kujiepusha na maambukizi ya virusi vya Corona.

Mkuu wa mkoa wa Arusha John Mongella

Kauli hiyo ameitoa wilayani Arumeru na kuongeza kuwa mikusanyiko yote itafuata utaratibu wa kibali na ile mikusanyiko ya misiba na mazishi wana ndugu wajipange na kwamba isiwe sababu ya kuongeza maambukizi.

"Niseme kwa sasa mikusanyiko itadhibitiwa na hatutaruhusu mikusanyiko isiyokuwa na sababu za msingi naomba hili lisichukuliwe kama ni suala la mkuu wa mkoa hili tulichukue wote kama jamii ili tuweze kujilinda, maendeleo yote haya tunayohubiri au kuyatangaza hayana maana kama tutakuwa na jamii yenye afya yenye mgogoro, au tunapoteza muda mwingi kwenye misiba na kuuguza ndugu zetu," amesema RC Mongella.

Kufuatia kauli hiyo Jeshi la Polisi mkoani Arusha limesema kwamba limepokea maelekezo hayo na kwamba wote watakaofanya mikusanyiko hiyo hatua kali zitachukuliwa dhidi yao.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala