Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais Magufuli asisitiza Serikali kuhamia Dodoma

Jumatatu , 25th Jul , 2016

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, leo amewaongoza watanzania katika Maadhimisho ya siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa nchini ambayo kitaifa yamefanyika katika mnara wa kumbukumbu wa mashujaa Mkoani Dodoma.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli,

Maadhimisho hayo ambayo kwa mara ya kwanza yamefanyika nje ya Jiji la Dar es Salaam, mkoani Dodoma ambapo Rais Magufuli amesema hiyo ni ni moja ya harakati zake za kuhamishia serikali Mkoani Dodoma ndani ya miaka minne ya Muhula wake wa kwanza.

Akizungumza katika Maadhimisho hayo Rais Magufuli, amesema mpaka sasa Dodoma, imeshakua na miundombinu ya kutosha ya kuweza kumudu watumishi wote wa wizara zake hivyo atakafanya kila awezalo ili serikali ihamie mkoani humo haraka iwezekanavyo.

Aidha Rais Magufuli amesisitiza kauli yake ya kuwatumikia wa Watanzania bila kujali itikadi zao za vyama na kusema kila mtanzania anahitaji haki sawa na kuondokewa na kero mbalimbali zinazowafanya kushindwa kufanya maendeleo

Pia Rais Magufuli ametumia fursa hiyo kuwataka watanzania kutumia maadhimisho hayo ya siku ya Mashujaa kudumisha Amani na Umoja na kujenga uzalendo wa nchi kama walivyofanya mashujaa waliokufa katika vita kwa ajili ya kuletetea taifa.

Kwa upande wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Mzee Ali Hassan Mwinyi, amewataka Watanzania wampe ushirikiano Rais Magufuli katika dhima yake ya kuwatumikia wananchi ikiwemo kumuombea kutekeleza yale yote ambayo aliwaahidi wakati wa kampeni.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala