Ng'ombe waliokufa baada ya kupigwa na radi
Serikali ya wilaya ikiongozwa na mkuu wa wilaya ya Tabora Dkt. Yahya Nawanda, imefika katika eneo la tukio kwa lengo la kuwapa pole wanafamilia.
Kufuatia hali hiyo serikali imeahidi kufanya tathmini kwa ajili ya kumshika mkono Homano Lugwesa, ambaye ni mmiliki wa ng'ombe hao.