Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya,Kamishna Msaidizi wa Polisi, Benjamin Kuzaga,
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya,Kamishna Msaidizi wa Polisi, Benjamin Kuzaga, amethibitisha kukamatwa kwa Askari hao.
Aidha Kuzaga ametoa wito kwa Askari kuacha kujihusisha na vitendo vya usafirishaji wa wahamiaji haramu.