Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nyavu za milioni 70 zateketezwa

Jumapili , 2nd Mei , 2021

Wizara ya Mifugo na Uvuvi imeteketeza nyavu haramu zenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 70 katika eneo la Migori, halmashauri ya wilaya ya Iringa kama sehemu ya mkakati kabambe wa kukabiliana na changamoto za uvuvi haramu katika bwawa la Mtera.

Nyavu haramu zilizoteketezwa

Akizungumza baada ya kuhitimisha zoezi la siku 10 la kusaka watu wanaofanya uvuvi haramu, kiongozi wa zoezi hilo Godbless Msuya, amesema katika zoezi hilo wamebaini idadi kubwa ya wavuvi wameanza kuhama katika eneo hilo kutokana na kupungua kwa samaki katika bwawa la Mtera tatizo ambalo limekuwa likichagizwa na uvuvi usiozingatia taratibu za uvuvi endelevu na salama.

Kwa upande wake Katibu Tawala wa wilaya ya Iringa Estomin Kyando, aliyezungumza kwa niaba ya mkuu wa wilaya ya Iringa ametoa rai kwa wananchi katika maeneo hayo kuendelea kutoa ushirikiano kwa mamlaka husika ili kumaliza changamoto ya matumizi yaa dhana haramu za uvuvi.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala