Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Taarifa hiyo ya Katibu imetolewa leo Januari 7, 2022, na kusema kutokana na hali hiyo wabunge watatakiwa kufika bungeni Januari 31, 2022.
Job Ndugai alijiuzulu wadhifa wake hapo jana kwa kusema amefanya hivyo kwa hiari yake na kwa kulinda maslahi mapana ya Taifa, serikali na chama chake.