Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ndugai aomba kupatiwa mabwawa manne Kongwa

Jumapili , 27th Sep , 2020

Mgombea wa Ubunge kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi,(CCM), Jimbo la Kongwa Job Ndugai, amewasilisha ombi maalum la wanakongwa kwa Makamu wa Rais Samia Suluhu la kuwatengenezea mabwawa ya maji katika wilaya yao.

Picha ya Mabwawa.

Akizungumza katika mkutano wa kampeni Kongwa leo Septemba 27, Ndugai amesema wilaya hiyo ina maji mengi ya mvua ambayo yatasaidia kwenye kilimo cha kiangazi.

"Tunalo ombi maalumu, wilaya hii ya Kongwa tuna maji mengi sana ya mvua yanayopita, tukipata mabwawa kama manne hivi makubwa suala la kilimo cha kiangazi litakuwa ni katika sehemu kubwa sana ya uchumi wa eneo hili” alisema Job Ndugai

Aidha Ndugai aliendelea kuwasihi wanakongwa kujitokeza siku ya kupiga kura kwa ajili ya Chama cha Mapinduzi, katika ngazi zote nchini.

Lakini cha muhimu ni kile kichinjio chetu 28/10 kupiga kura kwa Chama cha Mapinduzi si Kongwa tu, mkoa mzima na nchi nzima"alisema Job Ndugai

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto