Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mume amuua mkewe kwa risasi

Ijumaa , 26th Mei , 2017

Mwanamume mmoja mkazi wa Mahina wilayani Nyamagana mkoani Mwanza amemuua mkewe kwa kumpiga risasi na yeye mwenyewe kujiua baada ya kutokea ugomvi baina yao.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza DCP Ahmed Msangi amewataja watu hao kuwa ni Maximilian Ngedere (40) na Tedy Patrick (38) ambapo ugomvi baina yao ulianza baada ya wawili hao kurudi kutoka katika biashara zao, majira ya saa 4:15 usiku wa tarehe 25 Mei, 2017.

Inadaiwa kuwa wawili hao ambao ni wafanyabiashara ya samaki walipofika nyumbani ulitokea ugomvi na pindi ugomvi huo ukiendelea kulisikika milio ya risasi kutoka chumbani.

Kamanda Msangi amesema Max alimjeruhi mkewe kwa kumpiga risasi sehemu ya mgongoni, kisha kujipiga na yeye mwenyewe risasi ya kifuani, hali iliyopelekea yeye mwenyewe kufariki dunia papo hapo huku mkewe akijeruhiwa na kukimbizwa hospitali ya rufaa ya Bugando akiwa na hali mbaya na ilipofika leo majira ya saa 3 asubuhi, akafariki dunia.

Amesema chanzo cha mauaji hayo bado kinachunguzwa na kwamba polisi wapo katika upelelezi kuhusiana na mauaji hayo wakati miiliyao ikiwa imehifadhiwa katika hospitali ya rufaa ya Bungando kwa uchunguzi zaidi.

DCP Ahmed Msangi

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto