Mafuta
Akizungumza leo Januari 10, 2020, kwenye kipindi cha Supa Breakfast cha East Afrika Radio, kinachoruka kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa, kuanzia saa 12 Asubuhi hadi Saa 4 kamili asubuhi, amesema kuwa Tanzania inayaomafuta ya kutosha kwa miezi mitatu ijayo, ambapo asilimia 75 ya mafuta yanayoingizwa nchini yanapitia Irani.
"Tunahifadhi ya mafuta ambayo itaenda kwa siku 42, na kwa ujumla kama nchi tuna uwezo wa kuhifadhi mafuta mengi kama itatokea dharula yeyote."amesema Erasto simon.
Tazama Video kamili hapo chini.


