Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mbowe alipamisi Ikulu - Musukuma

Alhamisi , 26th Mei , 2022

Mbunge wa Geita Vijijini Joseph Musukuma amesema katika uongozi wa awamu ya Sita wa Rais Samia Suluhu Hassan sio wanawake tu wanaofurahia bali hata wanaume wanafurahia uongozi wake

Musukuma ametoa kauli hiyo leo Mei 26 bungeni Jijini Dodoma wakati wa kuchangia azimio la kumpongeza Rais Samia kwa uongozi wake 

""Kwa uongozi wa Mama Samia sio wanawake tu wanaomfuraia hata sisi wanaume tunamfuraia sana, hata vyama vya upinzani, hebu angalia leo Mbowe ndiye anaongoza kwenda Ikulu najua alipamisi sana lakini amepata nafasi yakuingia na kutoka zaidi ya mara tano"

Musukuma amesema baada ya kuondokewa na Rais wa awamu ya tano, Tanzania imepata kiongozi ambaye ameenda kuionyesha Afrika kwamba Tanzania ni nchi ambayo inadumisha amani.

Leo Bunge la Tanzania limepitisha azimio la la kumpongeza Rais Samia Suluhu baada ya kupokea Tuzo ya Babacar Ndiaye kwa mwaka 2022 (Babacar Ndiaye Trophy 2022) na kwa kutambuliwa kama miongoni mwa viongozi wenye ushawishi mkubwa duniani

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto