Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mapenzi chanzo cha mauaji ya Barke aliyeuawa guest

Jumanne , 25th Jan , 2022

Jeshi la Polisi Kanda Malum ya Dar es Salaam, linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za mauaji ya mwanamke aitwaye Barke Rashid, aliyeuawa Januari Mosi, 2022, akiwa guest maeneo ya Tabata, ambapo mmoja amekiri kutekeleza unyama huo baada ya kuahidiwa kiasi cha shilingi milioni 1.7.

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro, kulia ni Barke Rashid aliyeuawa

Taarifa hiyo imetolewa leo Januari 27, 2022, na Kamanda wa Polisi wa Kanda hiyo Jumanne Muliro, na kusema chanzo cha mauaji hayo ni kwamba watuhumiwa waliokamatwa mmoja wao alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na marehemu na kwamba licha ya kumhudumia bado hakuridhika na aliendelea na mahusiano na wanaume wengine.

"Chanzo cha mauaji haya kwa mujibu wa uchunguzi wa awali inadaiwa mtuhumiwa Charles Gregory au White, alikuwa ni mpenzi wa marehemu na alikuwa anadai amemgharamia sana ikiwa ni pamoja na kumpangishia nyumba na kudai marehemu alikuwa na mahusiano na wanaume wengine," amesema Kamanda Muliro.

Aidha Kamanda Muliro ameongeza kuwa uchunguzi wa kina juu ya tukio hilo bado unaendelea na watuhumiuwa watafikishwa mahakamani.

HABARI ZAIDI

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini