Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mapacha waliofariki wakiogelea kuzikwa mkoani Mara

Jumanne , 30th Mei , 2023

Miili ya mapacha Kenny na Lenny Makomonde wenye umri wa miaka 24 waliofariki ndani ya ziwa Victoria walipokuwa wanaogelea wameagwa jijini Mwanza na kuelekea Musoma mkoani Mara kwa ajili ya mazishi

Inadaiwa mnamo tarehe 28 mwezi huu mapacha hao walienda kuogelea kwenye fukwe za mwalo wa Mihama wilayani Ilemela jijini Mwanza ndipo wakakwama kwenye mapango ya miamba yaliyopo ndani ya ziwa Victoria na kupelekea kupoteza Maisha

“Ndani ya Maji kulikuwa na mapango ya miamba hivyo waliogolea hadi wakachoka na kushindwa kutoka na wote wakaishiwa nguvu na wote wakazama ndani ya mapango hayo na kupuiteza Maisha na sisi tulipofika tuliwatafuta na kuwakuta wamekwama kwenye mapango hayo ndipo

tukawatoa” Amesema msaidizi wa kitengo cha uzamiaji jeshi la zimamoto na uokoaji Mwanza Samweli Nyandito
Kaimu kamanda wa jeshi la zimamoto na uokoaji mkoani Mwanza kamila Labani amewataka wakazi wa maeneo hayo kuacha kuogelea katika eneo hilo kutokana kuwa na hatari kufuatia uwepo wa mapango ya miamba ndani ya mwalo huo ambayo ni hatari kwao

“Natoa rai kwa wananchi wote wa mkoa wa Mwanza wanaopenda kutumia fukwe kuogelea na siyo fukwe tu hata mabwawa maalum ambayo yanatumika kuogelea wasiende kuogelea bila kufuata kanuni za usalama amabzo ni pamoja na kuvaa makoti maalum yanayomsaidia mtu kuweza kuelea yanitwa lifejacket lakini kamwe wasiogelee kama hakuna mtaalamu wa kuwasaidia kama likitokea tatizo lolote’

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto