Jumamosi , 4th Apr , 2020

Makamu wa pili wa Rais Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi amesema alilalazimika kujiweka Karantine kwa siku 14, baada ya kutoka ziara ya kikazi nchini Cuba, ambapo amesema kitendo hicho si adhabu bali ni kutii utaratibu uliowekwa na Serikali ili kujikinga na maambukizi ya Virusi vya Corona.

Makamu wa pili wa Rais Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi

Aidha Makamu huyo amewataka Watanzania wanaotoka nje ya nchi kutii agizo hilo pindi wanapoingia ndani ya nchi kwa kujitenga wenyewe kwa muda ili kukinga maambukizi hayo.

Tazama video kamili apo chini.