Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Magufuli Rais mteule wa Tanzania 2020 - 2025

Ijumaa , 30th Oct , 2020

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage, leo Oktoba 30, 2020, amemtangaza Dkt. John Pombe Joseph Magufuli wa CCM, kuwa mshindi wa kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, baada ya kupata kura milioni 12,516,252.

Rais mteule wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli

Magufuli ameshinda uchaguzi huo uliofanyika Oktoba 28, 2020 ukijumuisha madiwani na wabunge, ambapo jumla ya majimbo 264 yameshiriki uchaguzi huo.

Mwenyekiti huyo wa Chama Cha Mapinduzi, anaingia katika awamu yake ya pili ya uongozi, baada ya awamu ya kwanza kuanza mwaka 2015 na kumalizika 2020 na sasa ataendelea kwa kipindi cha 2020 hadi 2025.

Jumla ya vyama 15 vilishiriki uchaguzi ngazi ya urais na mpinzani aliyemfuatia Magufuli kwa ni Tundu Lissu wa CHADEMA ambaye amepata kura 1,933,271.

Orodha kamili ya wagombea urais na kura walizopata
1.    Philipo Fumbo (DP) - 8283
2.    Leopold Mahona (NRA) - 80787
3.    John Shibuda (Ada Tadea) - 33,086
4.    Hashim Rungwe (CHAUMMA)-32,878
5.    Queen Sandiga (ADC) - 7627
6.    Seif Maalim Seif (AAFP) - 4635
7.    Twalib Kadege (UPDP) - 6194
8.    Muttamwenga  Mgaywa (SAU) - 14922
9.    Cecilia Mmanga (Makini) - 14556
10.    Khalifan Mazurui (UMD) -3721
11.    Yeremia Maganja (NCCR) - 19969
12.    Profesa Ibrahimu Lipumba (CUF) - 72885
13.    Bernard Membe (ACT) - 81,129
14.    Tundu Lissu (Chadema) - 1,933,271
15.    Dr. John Pombe Magufuli (CCM) - 12,516,252
 

Tazama Video hapo chini akitangazwa

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto