Rais Magufuli
Katika taarifa iliyotolewa leo Juni 13 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Gerson Msigwa, imeeleza kuwa, Rais Magufuli amemhakikishia Ndayishimiye kuwa Tanzania itaendeleza na kukuza ushirikiano na Burundi.
Aidha Rais Magufuli amerudia kumpa pole Rais huyo mteule kwa msiba wa aliyekuwa Rais wa nchi hiyo Pierre Kurunziza, aliyefariki Juni 9, 2020.
Soma taarifa ya Ikulu hapo chini




