Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Maandamano makubwa yafanyika Afrika Kusini

Jumatatu , 20th Mar , 2023

 

Raia wa Afrika Kusini wanafanya maandamano dhidi ya serikali na wakimtaka Rais Cyril Ramaphosa  ajiuzulu sababu za gharama kubwa ya maisha

Raia wan chi hiyo waandamana wakimtaka Rais ajiuzulu sababu ya gharama kubwa za maisha.

Serikali imepeleka wanajeshi kusaidia kulinda miundombinu muhimu wakati wa maandamano hayo.Rais Cyril Ramaphosa amewaonya waandamanaji dhidi ya kuharibu mali au kuwadhuru watu.

Wafuasi wa chama cha upinzani cha EFF nchini humo wanasafirishwa hadi katika kumbi ambazo wanafanya maandamano ya kuipinga serikali.  

Chama hicho kimesema maandamano yake ya kufungwa kwa taifa yalilenga kumshinikiza Rais Cyril Ramaphosa kuondoka madarakani, wanamshutumu kwa ufisadi na kwa kuendesha vibaya uchumi na mgogoro wa nishati.

Serikali imeimarisha ulinzi kote nchini humo. Polisi nchini Afrika Kusini hadi sasa wamewakamata watu 87 kuhusiana na maandamano hayo. Zaidi ya wanajeshi 3,000 wamepelekwa  kusaidia kulinda miundombinu muhimu.

Zaidi ya matairi 24,000 yamekamatwa na polisi katika miji tofauti.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto