Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Lowassa, Sumaye sababu ya Kubenea kubaki CHADEMA

Jumatano , 6th Dec , 2017

Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea amesema kwamba hawezi kuhama CHADEMA na kwenda CCM wakati yeye alishughulika kuwashawishi baadhi ya watu kuhamia katika chama alichopo sasa hivi.

Kubenea amesema kwamba ana mchango mkubwa sana katika kumuingiza Lowassa pamoja na Sumaye CHADEMA hivyo angejiona  mwendawazimu kuwasaliti watu ambao walimuamini na kwenda kwenye Chama ambacho yeye aliwaondoa.

"Mimi ningetaka kuondoka CHADEMA, ningeondoka kwa dhamira yangu mwenyewe lakini siyo kwa kushawishiwa au kwa kufika bei. Bei yangu ni utu wangu. Mimi sina bei kabisa hata kama Ingetengwa bajeti nzima ya serikali isingeweza kuninunua. Kiufupi sina bei.  Nimejenga jina kwa miaka 15 pamoja na sifa nzuri za chama changu nili struggle kwa kupata nafasi ya kutunga sheria siwezi kuwasaliti watu wa ubungo na hata wale walionichangia sumni sumni" Kubenea.

Mh. Kubenea

Ameongeza kwamba "Naendaje CCM, wakati huo huo mimi nilishiriki kuwavuta CHADEMA Mawaziri Wakuu wawili Lowassa na Sumaye. Sasa kweli nawezaje kuhama chama na kuwaacha hao watu na wengine wengi tu kwa ajili ya kuhamia CCM nitakuwa sina akili. Uweli nimeumizwa na huo uzushi.

Mbali hayo Kubenea ameongeza kwamba  anashangaa Chama hicho kinachoitwa cha wanyonge (CCM) kimefukuza wafanyakazi wengi wanaodaiwa kutokuwa na vyeti lakini watu waliofukuzwa walitumikia nchi kwa miaka mingi na wamefukuzwa kazi bila hata kifuta jasho huku kukiwa na mtu ambaye anatumia jina lisilo lake na chama chake kinamkumbatia.

Amefafanua kuwa wakati mwingi alikuwa akitumia nafasoi na tashi wake katika kukosoa hivyo hajaona jipya ambalo CCM wanaweza kufanya kwani hata hicho kinachoitwa kupambana na rushwa wameshindwa na badala yake kimempandisha cheo aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Arumeru na kuwa Mkuu wa Mkoa licha ya kutuhumiwa kwa rushwa na ushahidi ulionyesha

Pamoja na hayo kubenea ameweka wazi kwamba "Hakuna jambo ndani ya chamba changu ambacho kinaweza kunishawishi mimi kukihama
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto