Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

JPM amwagiwa sifa

Jumamosi , 16th Dec , 2017

Serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais John Pombe Magufuli imepongezwa kwa kuonyesha kwa vitendo utekelezaji wa sera ya elimu bure kwa wanafunzi nchini.

Pongezi hizo zimetolewa na Mwanafunzi Radhia Salumu wa shule ya sekondari Salma Kikwete leo alipohudhuria tamasha la  Coke5Seleket Concert linaloendelea katika Viwanja vya  Leaders Kinondoni Jijini  Dar es Salam, ambapo amesema kwamba ni matumaini yake elimu hiyo (bure) itaendelezwa mpaka vyuoni. 

"Ni vyema watanzania tumpongeze JPM kwa juhudi zake za kutoa elimu bure sio rahisi, naamini hii itafika hadi chuo kikuu " amesema.

Mbali na hayo mmoja wa wanafunzi kutoka shule ya sekondari Kambangwa aliyejulikana kwa jina la Ashura Iddi amesema hakuna njia ya mkato katika kutafuta elimu na kuwashauri wanafunzi wenzake  kutokata tamaa katika kuitafuta elimu ili wajikomboe katika janga la umasikini.

"Naamini katika elimu lazima uwe na uvumilivu ili  uweze kufanikiwa hakuna njia ya mkato katika kutafuta elimu. Sisi tunatakiwa kujiandaa katika maisha yetu ya baadae hivyo tujitahidi katika masomo, "amesema

Wanafunzi kutoka Maeneo Mbali Mbali ya Dar es Salama na maeneo ya jirani wamejitokeza na kujumuika kwa pamoja katika tamasha la Coke5Seleket Concert linaloendelea katika Viwanja vya  Leaders Kinondoni Jijini  Dar es Salama. 

Tamasha la Coke5Seleket Concert  limeandaliwa na Coca Cola ikishirikiana na East Africa LTD likiwa na lengo la kuwakutanisha wanafunzi na kusherehekea kwa pamoja kipindi hiki cha likizo.

Mpaka sasa tamasha hilo linaendelea huku wasanii Mbali Mbali wakiendelea kuishambulia 'Stage'. 

Msanii Rosa Ree akifanya yake jukwaani

Gigy Money akiwa jukwaani 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto