Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Jeshi la Polisi lamsaka Matonya

Alhamisi , 24th Mei , 2018

Jeshi la Polisi mkoani Tabora linamtafuta mtu mmoja aliyetajwa kwa jina la Omari Matonya kwa tuhuma za kumchinja mama na mtoto wake kisha naye kutoroka kusikojulikana.

Hayo yamebainishwa na Kamanda wa Polisi mkoani Tabora Kamishina Msaidizi Mwandamizi Wilbrod Mutafungwa na kusema tukio hilo linadaiwa limetokana na wivu wa kimapenzi

Katika hatua nyingine Jeshi hilo linamshikilia mtu mmoja mkazi wa kijiji cha Kiwere Wilayani Sikonge Mkoani humo baada ya kumkamata na silaha nane za moto aina magobore ambazo zinasadikiwa kutumika katika kufanya ujangili katika hifadhi ya wanyama wilayani Sikonge.

Kamanda Mtafungwa amemtaja mtu huyo kwa majina ya Ibrahimu Yohana mwenye umri wa miaka 40 ambapo silaha hizo alizokamatwa nazo haikujulikana zinatumika kwa kazi gani.

Kwa upande mwingine, Kamanda Mtafungwa amesema uchunguzi wa kesi hiyo ukikamilika mtuhumiwa huyo atapandishwa Mahakamani.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto