Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hatua zinazoendelea ujenzi wa taifa la kidijitali

Jumatano , 20th Oct , 2021

Mkurugenzi wa TEHAMA Wizara ya Habari, Teknolojia na Mwasiliano ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kongamano la Tano la Mkutano Mkuu wa TEHAMA 2021, Mulembwa Munaku, amesema jitihada mbalimbali zinaendelea kuchukuliwa ili kufikia taifa la kidijitali.

Mkurugenzi wa TEHAMA Wizara ya Habari, Teknolojia na Mwasiliano

Munaku ameyasema hayo leo kwenye Ukumbi wa Simba ndani Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha wakati akieleza muelekeo wa kidijitali kama taifa na jitihada mbalimbali zinazoendelea katika kufikia uchumi wa kidijitali.

''Kama ambavyo tunafahamu 75% ya wananchi ni vijana, ni wazi tunahitaji kuwekeza zaidi kwenye TEHAMA ili kuwawezesha kujikwamua ikiwemo kupata ajira na kujiajiri wenyewe kupitia teknolojia katika ulimwengu huu wa kidijitali, kwasababu ni asilimia 25 ndio wanapata ajira rasmi,'' amesema Mulembwa Munaku.

Aidha ameongeza kuwa, ''Mahitaji bado ni makubwa kwenye uwekezaji wa kufikisha 'internet' kwenye maeneo ya vijijini, hata hivyo tunayashukuru makampuni mbalimbali ya mitandao ya simu kwa kuendelea kufikisha huduma katika maeneo hayo,''.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi