Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

DC Machali asisitiza ukaguzi wa maduka Bukoba

Ijumaa , 2nd Dec , 2022

Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mosses Machali amemwagiza mkurugenzi wa manispaa ya Bukoba na wataalamu wake kuendelea kufanya ukaguzi kwa wafanyabiashara ambao hawana leseni, ili ambao hawana wafuate taratibu na kupata leseni kwa mujibu wa sheria, na kuiwezesha serikali kupata mapato

Agizo hilo la mkuu wa wilaya amelitoa katika kikao cha siku ya pili cha baraza la madiwani, baada ya kutokea mvutano baina yake na baadhi ya madiwani, waliotaka zoezi la kukagua maeneo ya biashara na kuwafungia wasio na leseni lisitishwe, na wafanyabiashara waongezewe muda wa kulipia leseni zao.

"Nimewambia hapa kwa robo ya kwanza tumeshindwa kukusanya 30% ambayo ilikuwa lengo, tulikusanya 23%, hamna uchungu mnataka kuzuia maafisa wasiendelee kukagua wakati hizo haki zinatolewa kwenye kifungu cha 17 cha sheria ya leseni za biashara, mkuu wa wilaya au mamlaka nyingine inawajibika kuheshimu uamuzi wenu ambao unakidhi matakwa ya sheria" amesema Machali.
 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala