Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

DC Machali asisitiza ukaguzi wa maduka Bukoba

Ijumaa , 2nd Dec , 2022

Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mosses Machali amemwagiza mkurugenzi wa manispaa ya Bukoba na wataalamu wake kuendelea kufanya ukaguzi kwa wafanyabiashara ambao hawana leseni, ili ambao hawana wafuate taratibu na kupata leseni kwa mujibu wa sheria, na kuiwezesha serikali kupata mapato

Agizo hilo la mkuu wa wilaya amelitoa katika kikao cha siku ya pili cha baraza la madiwani, baada ya kutokea mvutano baina yake na baadhi ya madiwani, waliotaka zoezi la kukagua maeneo ya biashara na kuwafungia wasio na leseni lisitishwe, na wafanyabiashara waongezewe muda wa kulipia leseni zao.

"Nimewambia hapa kwa robo ya kwanza tumeshindwa kukusanya 30% ambayo ilikuwa lengo, tulikusanya 23%, hamna uchungu mnataka kuzuia maafisa wasiendelee kukagua wakati hizo haki zinatolewa kwenye kifungu cha 17 cha sheria ya leseni za biashara, mkuu wa wilaya au mamlaka nyingine inawajibika kuheshimu uamuzi wenu ambao unakidhi matakwa ya sheria" amesema Machali.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto