Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

DC kuwasweka wafugaji mahabusu siku 10

Jumatatu , 22nd Feb , 2021

Mkuu wa Wilaya ya Magu Salum Kali amesema atawachukulia hatua za kisheria wafugaji wakorofi wanaolisha mifugo yao kwa makusudi kwenye mashamba ya wakulima kwa kuwaweka mahabusu kwa siku 10  ili iwe fundisho kwa wafugaji wengine wasioheshimu jasho la wakulima.

Mkuu wa Wilaya ya Magu Salum Kali

Kali ameyasema hayo kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika kijiji cha Nyashimbi wilayani humo mkoani Mwanza lengo likiwa ni kutafuta ufumbuzi wa migogoro kati ya wakulima na wafugaji.

"Ng'ombe wa mfugaji wakiingia kwenye shamba na akawa jeuri kamata mwenye ng'ombe niletee ofisini kwangu OCD atamuhifadhi kwa maelekezo yangu na ntampeleka kwenye kambi ya gereza akae siku kumi ndo tumtoe aende mahakamani, sitakubali na hii iwe fundisho kwa mfugaji yeyote katika wilaya yangu ya Magu" amesema DC Salum

Kwa upande wa wakulima wamebainisha changamoto iliyopo baina yao na wafugaji ni kutokuheshimiana kwenye kazi zao ilihali wao ni kama mtu na mdogo wake.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala