Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Baba akimbia familia yake baada ya mtoto kuugua

Ijumaa , 12th Apr , 2024

Mwanamke mmoja anayefahamika kwa jina Agnes Samsoni mkazi wa mtaa wa Nyantorotoro Halmashauri ya mji Geita anaiomba Serikali na wasamaria kumsaidia kupata fedha za vipimo na matibabu ya mtoto wake Brytone Silvester (9) ambaye hatembei wala kuongea baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Bi. Agnes Samsoni mkazi wa Nyantorotoro, Geita ambaye amekimbiwa na mzazi mwenzake baada ya mtoto wao kuugua kwa muda mrefu.

Katika mazungumza na EATV mama amesema mtoto wake ameanza kuugua tangu mwaka 2020 licha ya jitihada zinazofanywa na familia pamoja na majirani ili kuokoa maisha ya mtoto wao familia hiyo aina uwezo wa kifedha kumpeleka mtoto huyo kwenye matibabu.

"Brytone nimemzaa akiwa vizuri tu tumekaa naye ndani ya miaka mitatu alipofikisha miaka minne akaanza kuugua ilikuwa 2020 baada ya hapo tulimpeleka hospitalini Nyankumbu akagundulika kuwa na Malaria iliyopanda kichwani ambayo inamfanya awe na degedege, alichomwa sindano baada ya hapo tukaona bado hali ni mbaya watu wakaanza kutushauri tutumie dawa za kienyeji lakini hazikusaidia" Agnes Samsoni, mama wa mtoto.

Bi. Agnes  anasema baada ya baba yake mzazi kuona changamoto ya mtoto wao kuugua bila kupona akaamua kumkimbia na amekaa kwa muda mrefu sasa hajaona hata dalili ya kurejea na amepata mwanaume mwingine ambaye anaishi naye akimsaidia matumizi ya nyumbani lakini hela ya matibabu wamekosa kulingana na kipato chao.
 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala