Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ataja akili zake ndiyo siri ya kuwa na wanawake 15

Jumapili , 12th Mar , 2023

Mwanaume mmoja kutoka Kaunti ya Kakamega nchini Kenya David Zakayo, amesema kwamba aliamua kuoa wake 15 kwa sababu yeye ana akili nyingi ambazo haziwezi kubebwa na mke mmoja, ni bora kuwa na wake wengi kuliko kuwa na mpango wa kando (Mchepuko).

Kushoto ni Mzee David Zakayo akiwa na baadhi ya wake zake

Zakayo anao watoto 107 na kwamba wanawake nane ndiyo wanaishi sehemu moja naye huku wengine 7 wakiwa sehemu nyingine na kwamba anawatunza vyema

Mzee Zakayo akizungumza sababu ya yeye kuwa na wake hao 15 na kwamba anaweza kuongeza wengine amesema, "Nimegundua mimi nikiwa na mwanake mmoja na nikiwa na mpango wa kando wawili nitakuwa na hasara zaidi kushinda yule mtu aliyeoa wote hao na kuwaweke wote na hana mchepuko,".

Aidha Mzee Zakayo ameongeza kuwa "Akili yangu haiwezi kubebwa na mwanamke mmoja kwa sababu ni kubwa sana, sasa huwa na-handle ulimwengu mzima kama yai, niko nao 15 na nitaongeza wengine, mimi mali yangu ni akili,".

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto