Ijumaa , 6th Sep , 2024

Watu 11 wamefariki dunia na wengine kadhaa wamejuruhiwa huku wakiwa mahututi kwenye ajali ya basi la abiria yenye namba za usajili T282 CXT Kampuni ya  AN  inayofanya safari zake kutoka Mbeya -Tabora ,eneo la Lwanjiro wilaya ya Mbeya vijijini.

Picha ya ajali eneo la Lwanjiro wilaya ya Mbeya vijijini.

Mganga Mkuu wa wilaya ya Chunya Dr Darson Andrew amesema amepokea majeruhi wanaume sita na wakike watano.

 Kwa taarifa zaidi endelea kufuatilia mitandao yetu ya kijamii, na kutazama East Africa TV.